WATU 37 WAJERUHIWA AJALI YA BASI LA MWENDOKASI DAR

Basi la mwendokasi lililopata ajali

Hospitali ya Taifa Muhimbili imesema kwamba imepokea majeruhi 37 wa ajali ya basi la mwendokasi iliyotokea hii leo Februari 22, 2023 na kwamba haijapokea kifo chochote.


Aidha taarifa zaidi kuhusu mtembea kwa miguu aliyegongwa na basi hilo itatolewa baadae.

Ajali hiyo imetokea katika eneo la Kisutu jijini Dar es Salaam, bwakati basi la mwendokasi likitaka kulikwepa gari dogo na kupelekea kugonga ukuta.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments