MATUKIO KATIKA PICHA: UFUNGAJI WA KIKAO CHA PILI CHA TRAWC


Hafla fupi ya ufungaji wa kikao cha pili cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRAWC) kilichofungwa na Mwenyekiti wa baraza hilo ambaye pia ni Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Alphayo Kidata leo tarehe 22/2/2023 katika Ukumbi wa PSSSF Makole, Dodoma.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments