KANISA KATOLIKI LATOA TAMKO KUVAMIWA GEITA....LAFUNGWA "HII NI KUFURU KUBWA SANA, KANISA LIMENAJISIWA"
الثلاثاء, فبراير 28, 2023
Sehemu ya uharibifu uliofanywa
Kufuatia taarifa za mtu asiyefahamika kuvamia na kuingia ndani ya kanisa Katoliki jimbo la Geita na kufanya uharibifu katika altare na sakrestia na kuvunja tabernakulo, kumwaga ekaristi takatifu na kuchana kitabu kitakatifu Biblia sambamba na kuharibu mfumo wa camera za ulinzi, kanisa hilo limefungwa kwa muda
.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin