YANGA SC YATAMBULISHA JEZI MPYA KWAAJILI CAFCC



KLABU ya Yanga imeingia mkataba na Kampuni ya Haier wenye thamani ya shilingi bilioni 1.5 kama mdhamini Mkuu wa Kombe la Shirikisho barani Afrika,

Yanga Sc itakuwa inacheza kwenye michuano hiyo wakiwa wamevalia jezi mpya ambazo wamezindua leo Januari 30,2023 zikiwa na mdhamini wao huyo mpya.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments