YANGA SC YAMTAMBULISHA MCHEZAJI MPYA KUTOKA ZAMBIA


***************

Klabu ya Yanga imemtambulisha mchezaji mpya Kennedy Musonda kutoka katika klabu ya Power Dynamos ya nchini Zambia huu unakuwa usajili wa pili wa Yanga katika dirisha dogo baada ya Mudathiri Yahya ambaye alimaliza mkataba wake na Azam Fc.

Ikumbukwe kuwa Msemaji wa Yanga Sc Ally Kamwe akisema kuwa wanahitaji kusajili wachezaji wawili wa kimataifa kwenye dirisha hiili dogo ambalo linatarajia kufungwa Usiku wa Januari 15, 2023.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments