SIMBA SC YAONDOKA NA ALAMA TATU MBELE YA DODOMA JIJI



NA EMMANUEL MBATILO

KLABU ya Simba imefanikiwa kuondoka na alama tatu ugenini wakiinyuka Dodoma Jiji 1-0, mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Jamhuri Jijini Dodoma.

Katika mechi hiyo tumeshuhudia Simba Sc ikiwaanzisha wachezaji wao wapya waliowasajili kwenye dirisha dogo ambao ni Sawadogo pamoja na mshambuliaji kutoka DR Congo Jean Baleke.

Bao hilo pekee limefungwa na mshambuliaji wao mpya Jean Baleke akitumia makosa ya beki wa Dodoma Jijini na kuweza kufunga bao kwenye mchezo huo muhimu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments