Video & Picha : SHOW YA MAMA USHAURI, WAKATI MAKAMU WA RAIS AKIWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI TINDE

 
Malunde 1 blog imekusogezea VIDEO na Picha Msanii wa Nyimbo za Asili Maarufu MAMA USHAURI kutoka Tinde Shinyanga akitoa Burudani wakati Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akiweka Jiwe la Msingi la Mradi wa Maji ya Ziwa Victoria kwenye Mji wa utakaonufaisha wananchi 60,000 katika vijiji 22 vya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.

Dkt. Mpango ameweka jiwe la Msingi la Mradi wa Maji ya Ziwa Victoria kwa Mji wa Tinde leo Alhamis Januari 19, 2023 katika Tangi la Maji la Buchama – Tinde wilaya ya Shinyanga. 

Tazama Video na Picha Hapa chini Mama Ushauri Akitoa Burudani
  
Mama Ushauri akiimba


Mama Ushauri na Vijana wake wakitoa burudani

PICHA ZOTE Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments