FERNANDEZ MCHEZAJI BORA CHIPUKIZI KOMBE LA DUNIA 2022


Mchezaji anaekiputa kwenye klabu ya Benfica ya nchini Ureno na timu ya Taifa ya Argentina Enzo Fernandez ametangazwa kuwa mchezaji bora kijana michuano ya Kombe la Dunia 2022 iliyomalizika kwa timu ya Taifa ya Argentina kuibuka washindi na kunyakua kombe hilo mbele ya mabingwa watetezi Ufaransa.

Fernandez ameweza kuisaidia timu yake ya Taifa kubeba kombe hilo akiwa pia na mabao manne kwenye michuano hiyo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments