MAHAFALI YA 13 YA KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI NYANDEKWA KAHAMA YAFANA
الأحد, أكتوبر 30, 2022
Jumla ya Wanafunzi 90 kati ya
wavulana 39 na wasichana 51 wamehitimu elimu ya Kidato cha Nne mwaka 2022 katika
shule ya Sekondari Nyandekwa wilayani Kahama Mkoa ni Shinyanga.
Akizungumza wakati wa mahafali
Mkuu wa Shule ya Sekondari Nyandekwa Melkisedeck Choya amesema Shule hiyo ambayo ni ya kutwa na ya mchanganyiko, iliyoanzishwa
mwaka 2007 ina jumla ya wanafunzi 429.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin