BSL COLLEGE KAHAMA YATOA MISAADA SHULE 11 KAHAMA

BSL COLLEGE KAHAMA chini ya mkurugenzi Teacher Black leo tarehe 19/10/2022 wamekabidhi vitendea kazi katika shule 7 za msingi na 4 za sekondari katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Wametoa mifuko ya cement kg 250, Ngano kg 75, mipira, rangi, vipaza sauti, Reams na sukari.

ALIPO MAMA BSL TUPO.


0712583756


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments