YANGA SC YAITWANGA ZALAN FC 5 - 0 ..MAYELE APIGA HAT TRICK


********************

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

KLABU ya Yanga imefuzu hatua inayofuata klabu bingwa Afrika baada ya kufanikiwa kuwachapa jumla ya mabao 9-0 timu ya Zalan Fc ya nchini Sudan ya Kusini.

Mechi ya kwanza Yanga ilifanikiwa kuwachapa mabao 4-0, wakati mechi ya pilia mabyo imepigwa leo katika dimba la Benjamini Mkapa imeilaza kwa mabao matano na kufanya jumla ya kuwa na mabao 9-0.

Ni Fiston Kalala Mayele amefanikiwa kufunga mabao matatu tena yaani Hat Trick baada ya mechi ya kwanza kufanya hivyo.

Mabao mengine ya Yanga yamewekwa kimyani na Farid Mussa na Aziz Ki .

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments