STAMICO YATOA GAWIO BIL.2.2/- KWA SERIKALI


Mkurugenzi wa Uwekezaji katika Ofisi ya Msajili wa Hazina, Lightness Mauki akipokea mfano wa hundi ya Sh bilioni 2.2 kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Meja Jenerali Mstaafu Michael Isamuhyo ikiwa ni gawio kwa Serikali iliyokabidhiwa jana jijini Dodoma wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya STAMICO. Anayeshuhudia katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO, Dk Venance Mwasse.

(Picha na Msajili wa Hazina)

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments