RAIS SAMIA AMTEUA JENERALI VENANCE MABEYO KUWA MWENYEKITI BODI YA WAKURUGENZI NCCA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu Majeshi nchini Tanzania mstaafu,Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCCA).

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments