ALIKIBA KUKIWASHA UWANJA WA BURUDANI THE MAGIC 101 KAHAMA MJINI UKITIMIZA MWAKA MMOJA JUMAMOSI HII
الجمعة, يونيو 24, 2022
Msanii wa Bongo Fleva Alikiba anatarajia kutoa burudani babu kubwa kesho Jumamosi Juni 25,2022 wakati Uwanja maarufu wa Burudani Mjini Kahama mkoani Shinyanga 'The Magic 101' ukitimiza mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake mwaka 2021.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin