ALIKIBA KUKIWASHA UWANJA WA BURUDANI THE MAGIC 101 KAHAMA MJINI UKITIMIZA MWAKA MMOJA JUMAMOSI HII


Msanii wa Bongo Fleva Alikiba anatarajia kutoa burudani babu kubwa kesho Jumamosi Juni 25,2022 wakati Uwanja maarufu wa Burudani Mjini Kahama mkoani Shinyanga 'The Magic 101' ukitimiza mwaka mmoja tangu kuanzishwa kwake mwaka 2021.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments