RAIS SAMIA SULUHU APOKEA KOMBE LA DUNIA, AWATAKA WATANZANIA KUTUMIA FURSA KUPITIA MICHEZO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akipokea kombe la Dunia kutoka kwa Mwakilishi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), ambaye pia ni mchezaji wa zamani wa klabu ya Chelsea, Barcelona pamoja na timu ya Taifa ya Brazili Juliano Belletti katika hafla ya kupokea kombe hilo leo Mei 30,2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi mfano wa kombe la Dunia kutoka kwa Mwakilishi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), ambaye pia ni mchezaji wa zamani wa klabu ya Chelsea, Barcelona pamoja na timu ya Taifa ya Brazili Juliano Belletti katika hafla ya kupokea kombe hilo leo Mei 30,2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akipata picha ya pamoja na Mwakilishi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), ambaye pia ni mchezaji wa zamani wa klabu ya Chelsea, Barcelona pamoja na timu ya Taifa ya Brazili Juliano Belletti katika hafla ya kupokea kombe hilo leo Mei 30,2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akimkabidhi zawadi Mwakilishi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), ambaye pia ni mchezaji wa zamani wa klabu ya Chelsea, Barcelona pamoja na timu ya Taifa ya Brazili Juliano Belletti katika hafla ya kupokea kombe hilo leo Mei 30,2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akimkabidhi zawadi Mwakilishi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), ambaye pia ni mchezaji wa zamani wa klabu ya Chelsea, Barcelona pamoja na timu ya Taifa ya Brazili Juliano Belletti katika hafla ya kupokea kombe hilo leo Mei 30,2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam. Mwakilishi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), ambaye pia ni mchezaji wa zamani wa klabu ya Chelsea, Barcelona pamoja na timu ya Taifa ya Brazili Juliano Belletti akizungumza katika hafla ya Tanzania kupokea kombe la Dunia, hafla iliyofanyika leo Mei 30,2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam, mgeni rasmi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Mohamed Mchengerwa akizungumza katika hafla ya kupokea kombe la Dunia leo Mei 30,2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam mgeni rasmi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. Dkt.Hassan Abbas akizungumza katika hafla ya kupokea kombe la Dunia leo Mei 30,2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan. Baadhi ya wachezaji wa zamani wa Tanzania pamoja na wadau mbalimbali wa mpira wa miguu nchini wakifuatilia hafla ya kupokea kombe la Dunia, leo Mei 30,2022 Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo mgeni rasmi akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan.

( PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments