SIMBA SC KUKUTANA NA ORLANDO PIRATES YA AFRIKA KUSINI


Baada ya kutinga hatua ya robo fainali Simba imepangwa kukutana na Orlando Pirates ya Afrika Kusini.

Simba inayonolewa na Kocha Mkuu,Pablo Franco ina kibarua cha kuanza kusaka ushindi Uwanja wa Mkapa, Aprili 17,2022.

Kete ya mwisho itakayoamua Simba kutinga hatua ya nusu fainali itakuwa ni Aprili 24,2022 Uwanja wa Orlando Afrika Kusini.

Droo imechezeshwa leo nchini Misri ambapo Simba itakutana na vinara wa kundi C walimaliza wakiwa na pointi 13 baada ya kucheza Mechi 6.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments