KUTANA NA MCHUNGAJI HUYU WA KANISA ANAYEVAA VIATU VYA KIKE


Akivaa viatu vya kiume anapata maumivu miguuni.

Nchini Togo kuna mchungaji anavaa viatu virefu vya kike anapokuwa katika shughuli zake na matembezi ili kuepuka maumivu miguuni na magonjwa.


Mchungaji huyo anasema akivaa viatu vyake kiume anapata maumivu makali mguuni, baadae akapata maono kutoka kwa Mungu ya kuvaa viatu vya kike na tangu aanze kuvaa viatu vya kike hajawahi kupata maumivu yoyote mguuni.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments