MCHUNGAJI AWACHANA MAKAVU WANAWAKE WANAOOMBA NAULI


Mchungaji Mildred Okonkwo

Mchungaji Mildred Okonkwo kutoka Nigeria amewashauri wanaume kutoa wanawake wanaomba nauli kwa sababu inaonesha ishara ya uvivu wa wanawake hao na umaskini.

Kwenye mahubiri ya mchungaji huyo yalikuwa yanahusu warembo ambao huomba nauli wakienda date na wanaume zao.

"Usioe msichana mvivu. Msichana ambaye atakuomba pesa za usafiri. Ushauri wanaokupa ni kwamba mwanaume ndiye anapaswa kutoa nauli ila ni ishara ya mrembo unayemchumbia au anayekuvutia ni masikini".

Pia Mchungaji huyo ameongeza kusema hata mwanamke anaweza kumchukua na kumpeleka mwanaume wake dating.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments