RAIS SAMIA AMTEUA BRIGEDIA JENERALI MABONGO KUWA MWENYEKITI WA BODI TPC


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Brigedia Jenerali Yohana Ocholla Mabongo, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC).

Brigedia Jenerali Mabongo ni Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.

Uteuzi huu umeanza tarehe 24 Februari, 2022

Zuhura Yunus

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments