RAIS SAMIA AREJEA DODOMA KUTOKA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI NCHINI MSUMBIJI
الخميس, يونيو 24, 2021
Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma leo, akitokea Maputo nchini Msumbiji kuhudhuria mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Wakati wa mkutano huo SADC imeridhia kuanzishwa kwa Kituo cha Haki za Binadamu kitakachosaidia nchi zinazokabiliwa na athari za mabadiliko ya Tabia Nchi, kukabiliana na janga la corona pamoja na kuangalia jinsi gani SADC itaweza kupambana na suala la ugaidi.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin