Mkazi wa kijiji cha Guta Wilaya ya Bunda mkoani Mara Grace Chacha (67) amefariki dunia baada ya kukatwa mapanga na mwanaye wa kambo aitwaye Matiku Chacha akidaiwa ni mchawi.
Mtoto wa marehemu Joseph Chacha amesema tukio hilo lilitokea Aprili 22, 2021 saa 4 asubuhi katika kijiji cha Guta.
Ameelez kuw mama huyo anadaiwa kuuawa na kijana huyo aliyekuwa akiishi jirani na Grace na kwamba kabla ya tukio hilo mtuhumiwa huyo anadaiwa kutamka maneno ya vitisho kwa marehemu akimtuhumu kuwa chanzo cha yeye kuwa na maisha magumu.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin