MGOMBEA URAIS WA CCM RAIS DKT. MAGUFULI AWASILI UWANJA WA KAMBARAGE KWA AJILI YA MKUTANO WA KAMPENI ZA URAIS

Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za Urais leo tarehe 03 Septemba 2020.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments