Picha :RAIS MAGUFULI, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI, JAKAYA MRISHO KIKWETE WALIVYOWEKA SHADA LA MAUA KWENYE KABURI LA RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakiwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakijiandaa kuweka shada la maua kwenye kaburi la Rais Mstaafu wa Awamu ya Hayati Tatu Mzee Benjamin William Mkapa wakati wa mazishi kijijini Lupaso, Masasi, Mtwara Jumatano Julai 29, 2020



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527