RAIS MAGUFULI AMTEUA LUTENI KANALI SAWALA KUWA MKUU WA WILAYA YA RUFIJI


Rais Magufuli amemteua Luteni Kanali Patrick Kenani Sawala kuwa Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani akichukua nafasi ya Juma Njwayo ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527