Aliyekuwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) na Mkurugenzi wa zamani wa Katani Limited Salum Shamte amefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, alikokuwa akipatiwa matibabu.
Mkewe Mariam Shamte amethibitisha.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
حسنًا