Picha: KATIBU MKUU CHADEMA JOHN MNYIKA APEWA UCHIFU WA WASUKUMA
الأحد, ديسمبر 29, 2019
Katibu Mkuu Chadema, Mheshimiwa John Mnyika leo amesimikwa kuwa Chifu wa Wasukuma na kupewa jina la Maronja likiwa na maana ya MREKEBISHAJI. Mnyika yupo mapumzikoni kijijini kwao mkoani Mwanza.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin