ATCL YAZINDUA SAFARI ZA TANZANIA KWENDA AFRIKA KUSINI


Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), leo limeanza rasmi safari yake ya kwanza kuelekea Johannesburg, Afrika Kusini kwa kutumia ndege aina ya Airbus. 

Mkurugenzi wa Shirika hilo Mhandisi Ladslaus Matindi amesema kwa wiki kutakuwa na safari nne. 

Ndege hiyo  aina ya Airbus 220-300 imeondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam Tanzania (JNIA)  saa 4:30 asubuhi ikitarajia kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa OR Tambo, Afrika Kusini saa 6:45 mchana.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527