BASI LA BENY JUNIOR LAPATA AJALI LIKIKATA KONA STENDIYA LUDEWA
الجمعة, يناير 27, 2017
Watu kadhaa wamejeruhiwa katika ajali baada ya Coaster /basi la Beny Junior linalofanya safari zake kati ya Lugarawa na Ludewa kupata ajali eneo la stendi ya Ludewa mkoani Njombe.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa 5 asubuhi wakati basi hilo likijaribu kukata kona kuingia stendi ya Ludewa mjini.
Dereva wa basi hilo amekimbia na kutelekeza basi hilo huku majeruhi wamekimbizwa hospitali ya Wilaya ya Ludewa kwa matibabu zaidi .
Jitihada za kumtafuta kamanda wa polisi wa mkoa wa Njombe zinaendelea
CHANZO-http://www.matukiodaima.co.tz/
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin