Hii Hapa Orodha Mpya ya Viwango Vya FIFA Duniani Imetoka Leo Julai 14 2016
Thursday, July 14, 2016
Ni kawaida kwa shirikisho la soka duniani kote maarufu kama FIFA, kutoa viwango vya soka kila baada ya kipindi fulani katika mwaka, leo July 14 2016 shirikisho hilo limetanza viwango vipya vya FIFA ambapo timu ya taifa ya Argentina inaongoza kwa kushika nafasi ya kwanza.
Kwa upande wa ukanda wa Afrika Mashariki yaani Tanzania, Kenya, Rwanda na Uganda, nchi ya Uganda imeonekana kuongoza kwa kuwa nafasi ya 69 ikifuatiwa na Kenya 86, Rwanda 111 na Tanzania ikiwa nafasi ya 123. Hii ni list mpya ambayo imetoka leo Julai 14 ,2016,
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin