KENYA: Binti mmoja amefariki dunia baada ya kula mchanga wa kaburi


Mhubiri alimshauri ale mchanga huo kwa madai kuwa ana mizimu


Inasemekana baada ya kunyweshwa dawa, ndivyo hali ya afya ya msichana huyo ilivyozidi kuwa mbaya hadi akapoteza fahamu.


Hata hivyo mhubiri mwenyewe amejitetea akisema huenda ilitokana na familia ya marehemu kutokuwa na Imani na maombi yake ya uponyaji.