News Alert!! MSANII MAARUFU GODZILLA AFARIKI DUNIA

 

Hiroshi Koizumi ,msanii wa Japan ambaye aliigiza katika filamu nyingi za Godzilla amefariki akiwa na umri wa miaka 88.
Kulingana na ripoti,amefariki mjini Tokyo mnamo tarehe 31 Mwezi May kutokana na kichomi ama Pneumonia kwa kiingireza.
Koizumi aliigiza kama Godzilla katika filamu ya Godzilla Raids Again ikiwa ni falamu ya kwanza ya Godzilla iliozinduliwa mwaka uliofuta.
Baadaye aliigiza katika filamu kadhaa za kutisha ikiwemo Mothra,Godzilla vs The Thing na Ghindorah and the Three headed Monster.
Via>>BBC

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم