Kali ya Mwaka!! WAFUNGA HARUSI WAKIWA NDANI YA JENEZA,ANGALIA HAPA PICHA MTU WANGU
Wednesday, June 03, 2015
Maharusi wengi hutamani siku ya harusi
kuwa siku ya kitofauti zaidi katika maisha yao wakiamini ndio siku pekee
ambayo ni ya furaha zaidi huku wengine wakitumia kila aina ya njia
kuhakikisha sherehe yao inapendeza.
Utakuta wengine wanatumia usafiri wa
farasi au magari ya kifahari kuhakikisha tu sherehe inakuwa ya kipekee
zaidi kwao lakini kwa Jenny Buckleff ilikua tofauti kwani yeye alitumia jeneza kama usafiri wake.
Jenny alitaka kuwashangaza wageni
waliofika kwenye sherehe yake hata kwa mumewe pia kwani hakumwambia mtu
yoyote kuhusu uamuzi wake huo.
Siku ya sherehe aliingia ukumbini akiwa
ndani ya jeneza lililokuwa likisikumwa kwa pikipiki huku kila mmoja
akishikwa na butwaa kutokana na kitendo hicho ambacho si rahisi kutokea.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin