Breaking News!! WANAFUNZI 6 WATEKETEA KWA MOTO KWENYE GARI LA SHULE HUKO RUVUMA
Thursday, June 04, 2015
Habari kutoka mkoani Ruvuma zinasema kuwa wanafunzi 6 wa shule ya sekondari ya Misheni ya Kigonsera wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wanadaiwa kupoteza maisha na wengine 26 kujeruhiwa vibaya katika gari linalomilikiwa na mwalimu mkuu wa shule hiyo.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin