Wasukuma Shikamoo!!! ANGALIA VIDEO/SHOW YA MSANII MWANAKWELA WA KAHAMA,NI BALAA,NGOMA INAITWA "CREAM"
الاثنين, مايو 25, 2015
Nimekusogezea Show iliyofanywa na mkali wa nyimbo za asili kutoka Bugomba B,Kahama mkoani Shinyanga "Mwanakwela" wimbo unaitwa "Cream".Show ilifanyika Uluguru wilayani Itilimamkoani Simiyu..Mwanakwela ni miongoni mwa wasanii wa nyimbo za asili kutoka kanda ya ziwa mwenye wanenguaji matata na wenye manjonjo ya hapa na pale.ITAZAME HAPA CHINI NI NZURI SANA MTU WANGU,KUNA WATU WAMEJALIWA KUKATIKA,WANAZUNGUSHA VIUNO KAMA FENI
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin