Afisa Mazingira kutoka Mgodi wa Mwadui Prisca John akionesha yai lililoiva ndani ya dakika 10 baada ya kuwekwa kwenye jiko hilo la kutumia nguvu ya jua |
Afisa Mazingira kutoka Mgodi wa Mwadui Prisca John akimenya yai
Afisa Usalama,Afya na Mazingira kutoka mgodi wa Mwadui Donatus Mukungu alisema majiko mengine ya namna hiyo yanaendelea kutengenezwa na wana mpanga wa kuanza kuyasambaza jijini |
Mfanyakazi kutoka Mgodi wa Mwadui akiwa amesimama mbele ya jiko hilo la kisasa |
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Ally Nassoro Rufunga akiangalia asali iliyotengezwa katika mgodi wa Mwadui |
Afisa Usalama,Afya na Mazingira kutoka mgodi wa Mwadui Donatus Mukungu akieleza shughuli mbalimbali zinazofanywa na mgodi wa Mwadui,ambapo alisema wanafanya kazi za kutunza mazingira pia |
Wakazi wa Shinyanga wakiwa katika banda la mgodi wa Mwadui katika viwanja vya Shycom mjini Shinyanga |
Afisa Mazingira mgodi wa Mwadui(kushoto) akionesha nta iliyotengenezwa katika mgodi huo |