Ajali
mbaya imetokea usiku huu Mjini Iringa eneo la Kihesa Kilolo baada
ya watu watatu waliokuwa kwenye bodaboda kugongana na lori aina ya
fuso iliyokuwa inatoka mjini Iringa kuelekea Dodoma katika barabara ya
Iringa -Dodoma na wote watatu wamekufa eneo la tukio kwa kuwaka moto
pamoja na piki piki yao picha hazifai.