Breaking News!! WATU WATATU WAFARIKI KWA KUWAKA MOTO KWENYE PIKIPIKI MJINI IRINGA

Ajali mbaya imetokea  usiku huu Mjini Iringa eneo la Kihesa Kilolo baada ya watu watatu waliokuwa kwenye bodaboda kugongana na lori aina ya   fuso iliyokuwa inatoka mjini Iringa kuelekea Dodoma katika barabara ya Iringa -Dodoma na wote watatu wamekufa eneo la tukio kwa kuwaka moto pamoja na piki piki yao picha hazifai.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم