ANGALIA PICHA-HII NDIYO SAFU MPYA YA UONGOZI CHADEMA
Monday, September 15, 2014
Uchaguzi wa viongozi wakuu wa chama cha Democrasia na maendeleo CHADEMA umemalizika katika ukumbi wa mliman city ambapo mwenyekiti wake FREMAN MBOWE ameshinda tena kiti hicho kwa kishindo na kutangazwa kuwa mwenyekiti mpya wa chama hicho kwa miaka mingine mitano matokeo ni kama ifuatavyo NAFASI YA UENYEKITI--- FREMAN MBOWE---KURA --789 GAMBARANYERE MWANGATEKA---KURA--20
NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI BARA PROFESA ABDALA SAFARI---KURA--775 NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI ZANZIBAR SAID ISSA MOHAMED---KURA--645 HAMAD MUSSA YUSUPH--163 Hivyo aliyekuwa mwenyekiti wa uchaguzi huo ALEX KISURURA amemtangaza mh FREMAN MBOWE kuwa mwenyekiti huku PROFESA SAFARI akichukua nafasi ya makamu mwenyekiti upande wa bara na SAID ISSA MOHAMED kuchukua nafasi ya makamu mwenyekiti upande wa zanzibar. CHINI KUNA PICHA BAADA YA USHINDI
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin