WATU WAWILI WAFARIKI DUNIA WAKIBATIZWA NDANI YA ZIWA VICTORIA



Watu wawili wamefariki dunia baada ya kuzama ndani ya ziwa Victoria walipokuwa wanabatizwa na mchungaji Nehemia Upendo wa kanisa la POOL of SILOAM. Wakati wakiendelea na ubatizo wimbi likawapiga na kusababisha watu wawili kupoteza maisha

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم