Ni katika moja ya maeneo mjini Kahama mkoani Shinyanga ambapo kamera zetu zimefanikiwa kunasa mtaro ukiwa umezibwa kwa mawe na mchanga ili watu wapite kuelekea kwenye mji wa mtu.
Wakati serikali na wadau wengine mbalimbali wa maendeleo wakifanya kila linalowezekana kuweka mji wa Kahama katika sura nzuri wengine wanafanya yao kuharibu,Je tutafika?
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin