Makubwa haya!!! MTOTO AZAA NA MTOTO MWENZIE,YADAIWA WAKO KWENYE MAHUSIANO YA KIMAPENZI KWA ZAIDI YA MWAKA MMOJA
الجمعة, أبريل 18, 2014
Katika hali ya kushangaza huku wengine wakidhani pengine ni laana,huko nchini Uingereza mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 13 amempatia ujauzito mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 12,ambapo inadaiwa watoto hao wamekuwa katika uhusiano wa kimapenzi kwa zaidi ya mwaka mmoja na kupelekea kuanza majukumu ya baba na mama .Inadaiwa kuwa watoto hao pengine huenda wakawa ndiyo wazazi wenye umri mdogo zaidi duniani.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin