

Kwa mujibu wa mashuhuda
mmoja kati ya wauaji mara baada ya kuwaamuru walale chini wateja watano
waliokutwa kwenye Bar hiyo alichukua jiwe lililokuwa umbali wa hatua
kumi na kuja kumpiga nalo mara mbili kichwani kwa nguvu marehemu
Michael hali iliyosababisha kupasuka vibaya kichwa....Hata hivyo Polisi
hadi sasa wanawashikilia watu wawili kuhusiana na tukio hilo la kinyama.
Via >>Kapipij blog
Social Plugin