Breaking News!!! BASI LA BUNDA EXPRESS LAGONGA TRENI HUKO SINGIDA
الجمعة, فبراير 28, 2014
Eneo la tukio
Habari kutoka Manyoni mkoani Singida zinasema kuwa Basi
la Bunda Express lililokuwa linatoka Dodoma kuelekea Mwanza limegonga Treni iliyokuwa inatoka Aghondi Itigi katika eneo la njia panda ya Itigi Na Singida.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka eneo la tukiokinasema kuwa mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Bi Kombo amefariki dunia na kadhaa kujeruhiwa. Majeruhi 38 tayari wamepelekwa kwenye Hospitali ya Wilaya ya Manyoni. Chanzo cha ajali inasemekana kuwa ni uzembe wa dereva ambapo inadaiwa dereva wa gari hakusimama wakati anajua anapaswa kusimama katika eneo hilo la njia ya treni.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin