HAPA NDIYO STUDIO ZA RADIO KAHAMA FM ZINAHAMIA MWISHONI WA MWEZI HUU,TAZAMA PICHA ZA JENGO JIPYAAAA


Muonekano wa jengo jipya la  Kahama fm  kwa mbele
Studio za Radio Kahama fm zitahamishiwa  rasmi tarehe 30/12/2013 siku ya Jumatatu kama unavyoona ni jengo jipyaaa liko  eneo la mtaa wa Nyahanga mjini Kahama na ukitaka kufika pita barabara ya polisi kwenda juu Nyahanga  angalia mkono wa Kushoto utaona jengo hilo.Kila kitu kimeshakamilika taarifa za uzinduzi rasmi zitawajia
Muonekano wa jengo kwa nyuma
Muonekano kwa pembeni kidogo


Credit Dunia Kiganjani blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم