HAPA NDIYO STUDIO ZA RADIO KAHAMA FM ZINAHAMIA MWISHONI WA MWEZI HUU,TAZAMA PICHA ZA JENGO JIPYAAAA
الجمعة, ديسمبر 27, 2013
Muonekano wa jengo jipya la Kahama fm kwa mbele
Studio za Radio Kahama fm zitahamishiwa rasmi tarehe 30/12/2013 siku ya Jumatatu kama unavyoona ni jengo jipyaaa liko eneo la mtaa wa Nyahanga mjini Kahama na ukitaka kufika pita barabara ya polisi kwenda juu Nyahanga angalia mkono wa Kushoto utaona jengo hilo.Kila kitu kimeshakamilika taarifa za uzinduzi rasmi zitawajia
Muonekano wa jengo kwa nyuma
Muonekano kwa pembeni kidogo
Credit Dunia Kiganjani blog
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin