CHOO CHA KATA CHAGEUZWA STOO-NDEMBEZI KATIKA MANISPAA YA SHINYANGA
الثلاثاء, نوفمبر 26, 2013
Hiki ndiyo choo cha ofisi ya afisa mtendaji kata ya Ndembezi katika manispaa ya Shinyanga ambacho kimegeuzwa stoo kuhifadhia,na kufuatia hali hiyo afisa afya wa kata hiyo bwana Sanya Anthony Mwara amesema ipo haja ya kufanyika ukarabati wa katika ofisi hiyo ikwa ni pamoja na kutenganisha chumba cha choo hicho na ofisi kwani kimeunganishwa pamoja
Muonekano ndani ya choo hicho ambacho ni kimoja tu na kinatumika na watu wa jinsia zote
Nyuma ya ofisi hiyo,Chumba cha kwanza kulia anapoingia huyo jamaa ndiyo choo chenyewe,mlango unaofuatia ni mlango wa pili katika ofisi hiyo ambapo kwa mujibu diwani wa kata hiyo David Nkulila na afisa mtendaji wa kata hiyo Jamesa Dogani wamesema wapo katika mpango wa kufanya marekebisho katika ofisi hiyo
Muonekano wa ofisi hiyo kwa mbele
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
Social Plugin
TAFUTA HABARI
MAFUNZO NA LESENI
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin