Wakazi wa Ngara waingiwa hofu,baada ya kitu kisichofahamika kudondoka ardhini kutoka angani usiku

Kitu ambacho mpaka sasa hakijafahamika ni nini.katika Kijiji cha Ruganzo kata ya Kibimba wilayani Ngara
Pichani,Ni kitu kisichofahamika ni nini. Kitu hicho kilidondoka kutoka angani hadi ardhini Usiku wa Jumatano august 21 kuamkia Alhamisi august 22 majira ya saa nane Usiku.

 Kutokana na kishindo kikubwa kilichopelekea hali inayofanana na tetemeko la ardhi,wakazi wa Ngara wamekuwa na wasi wasi mkubwa,.

 Wapo waliodhani kuwa kitu hicho ni Kombora la masafa marefu lililorushwa kutoka nje ya Nchi,wapo waliodhani kuwa ni Kimondo,wapo pia wanaodhani kuwa ni Satelite! 

 Majibu yatatolewa katika Ripoti itakayotolewa na timu/kikosi cha wanajeshi wa naohusika na masuala ya Mlipuko.

 Tayari kikosi kutoka Biharamulo kimeagizwa  

SOURCE: NGARAKWETU

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم