UCHAGUZI KATA YA MWAWAZA -SHINYANGA UNAFANYIKA KESHO HUKU KUKIWA KUMERIPOTIWA VURUGU KADHAA IKIWEMO KUCHOMWA MKUKI KWA MWENYEKITI WA CHADEMA

Wananchi wa Kata ya Mwawaza katika Manispaa ya Shinyanga kesho watapiga kura kumchagua Diwani mpya ,kufuatia kifo cha aliyekuwa diwani wa kata hiyo Charles Magina aliyefariki dunia mwaka jana.

Uchaguzi huo unafanyika huku kukiwa kumeripotiwa vurugu kadhaa za kisiasa kati ya wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi CCM na wale wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema ambazo zimesababisha kujeruhiwa vibaya kwa mtu mmoja kwa kuchomwa mkuki tumboni.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments