YANGA SC YAPANGWA KWA MAMELODI, SIMBA SC USO KWA USO NA AL AHLY ROBO FAINALI CAFCL


NA EMMANUEL MBATILO

DROO ya Robo fainali Klabu Bingwa Afrika imepangwa leo ambapo vigogo wa ligi kuu Tanzania bara Yanga Sc ikipangwa na Mamelodi Sundowns ya nchini Afrika Kusini huku Simba Sc ikipangwa kucheza na Al Ahly ya nchini Misri.
Yanga Sc na Simba Sc wote wataanzia nyumbani na kumalizia ugenini.

Ratiba kamili ya Robo fainali

TP Mazembe vs Petro Atletico

Esperance vs ASEC Mimosas

Yanga Sc vs Mamelodi Sundowns

Simba Sc vs Al Ahly

Nusu Fainali

Esperance/ASEC Mimosas vs Yanga Sc/Mamelodi Sundowns

Simba Sc/Al Ahly vs TP Mazembe/Petro Atletico.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

1/Post a Comment/Comments

  1. tuacheni masihara hakika kusema ukweli kwa hivi vigogo tulivyopangawia hatua hii ya quarter final ccl hizi timu zetu kutoboa itakuwa ni full gospel

    ردحذف

إرسال تعليق