RAIS SAMIA AMPANDISHA CHEO KAMANDA JUMANNE MULIRO




Muliro Jumanne Muliro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dkt. Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Muliro Jumanne Muliro kuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP).

Taarifa iliyotolewa leo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura imesema Muliro
amepandishwa cheo hicho kuanzia February 20, 2023.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments