HAYA NDIYO ALIYOYAZUNGUMZA MAJALIWA AKINADI JPM LEO MKOANI LINDI


 Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Ndugu Kassim Majaliwa ameendelea na Mikutano yake ya Kampeni Kunadi Sera na Ilani ya CCM Kisha kuomba kura. Na Leo Jumapili amefanya Mkutano Mkubwa wa Kampeni Wilayani Liwale Mkoani Lindi na haya ndiyo aliyoyazungumza Kwenye Mkutano huo Mkubwa. Liwale inasema ilikosea na Sasa wametubu, Oktoba 28 wanaenda na CCM tu kwa maendeleo na si ubabaishaji tena.

#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم