Makubwa Haya!! MAMA AMLAZIMISHA MTOTO WAKE KULA NYAMA ZA PANYA KAMA KITOWEO CHA ASUBUHI

rats 

Kuna tamaduni nyingine hutumia nyama ya mbwa kama kitoweo na wakati mwingine huamini ina faida kubwa mwilini tofauti na nyama ambazo zimezoeleka kuliwa na binadamu.
 
Hii imetokea huko India baada ya mwanamke mmoja kumlazimisha mtoto wake kula nyama ya panya kama kitoweo cha asubuhi kwa madai watamsaidia kumpatia nguvu.
Mtoto huyo aitwaye Chen alizua majibizano kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuweka picha ya panya hao ambao alitengewa na mama yake huku mama huyo akumuhimiza kuhakikisha anamaliza kabla ya yeye kuondoka kwenda kazini.

Awali mtoto huyo alidhani hawakuwa panya bali sungura lakini alipokuja kuujua ukweli alikataa kula lakini mama yake aliendelea kumlazimisha.

Alimsisitiza kuwa panya mmoja ana uwezo wa kumpatia  vitamini mwilini sawa na kula kuku watatu.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
أحدث أقدم